HAYA NDIO MAJINA YA MUNGU


 

Kufahamu majina ya Mungu ni kitu cha muhimu sana maana itakusaidia zaidi kujua Mungu ni nani unapomwomba unampa sifa zake sawa na hilo jina, Mfano tunaposema JEHOVA SHALOM Bwana ni Amani yetu, unapomwita Bwana wa amani anashuka hata mahali ambapo kulikuwa hamna amani utaona amani inakuwepo. Kwa hiyo ni vizuri pia tujifunze maana ya majina ya Mungu wetu na yana faida gani kwenye maisha yetu hapa duniani.

  1. ADONAI

Mungu Mwenye Enzi Yote

Mwanzo 15:2-8

  1. EL – SHADAI

Mungu Ututoshalezae Mungu Mwenyenzi

Mwanzo 17:1

  1. EL-OHEENU

Bwana Mungu Wetu

Zaburi 99:5,8,9

  1. EL- GIBBOR

Mungu Mwenye Nguvu

Isaya 9:6-9

  1. EL-OLAM

Mungu wa Milele

Mwanzo  21:23

  1. EL-OHEEKA

Bwana Mungu Wako

Kutoka 20:2,5,7

  1. EL-ELYON

Mungu Aliye Juu Sana

Mwanzo 14:18

  1. EL-OHIM

Muumbaji wa Milele

Mwanzo 1:1

  1. YEHOVA SABAOTH

Bwana wa Majeshi

1Samwel 1:3

  1. JEHOVA TSIDKEMU

Bwana ni Haki Yetu

Yeremia 23:6

  1. JEHOVA RAPHA

Mungu Nikuponyae

Mwanzo 15:26

  1. JEHOVA MEKADDISHKEM

Bwana Niwatakasae

Kutoka 31:13

  1. JEHOVA ROHI

Bwana Mchungaji Wangu

Zaburi  23:1

  1. JEHOVA JIREH

Mungu Atupaye /Atoaye

Mwanzo 22:14

  1. JEHOVA HOSEENU

Bwana Aliyetuumba

Zaburi  95:6

  1. JEHOVA NISSI

Bwana ni Beramu (Bendera) yangu

Kutoka17:15

  1. JEHOVA SHALOM

Bwana ni Amani Yangu

Waamuzi 6:24

  1. JEHOVA SHAMMAH

Bwana Yupo Hapa

Ezekiel 48;35

 

Comments

Popular posts from this blog

LINDA SAANA MOYO WAKO KULIKO VYOTE ULINDAVYO: JINSI YA KULINDA MOYO WAKO-I

VINYWA VYA MOYO: JINSI YA KULINDA MOYO WAKO-2

Ufanye Nini Unapoumizwa Moyo Na Watu Wako Wa Karibu/ Jinsi Ya Kupokea Uponyaji kwa Moyo Ulioumizwa