Sifa Na Ibada Kwa Mungu

 Zaburi 22:3

 Wewe U Mtakatifu, nawe UNAKETI juu ya sifa za Israel
Zab 22:3
IDABA ndio kitu cha kwanza kabisa katika moyo wa Mungu, kwa sababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

Kumnyima Mungu ibada Ni kama kumnyima
      Samaki maji
      Mimea udongo
      Binadamu hewa

Kwa maana, Baba anawatafuta   watu wa aina hiyo ili wamwabudu.”  (Yohana 4: 23),Ufunuo 4:9-11, Ufunuo 5:11-14 
Mungu anatamani sana kukaa na sisi watoto wake hapa duniani, ndio maana anataka dunia yote ijazwe hali ya ibada (atmospherekama ilivyo mbinguni (masaa 24), ili duniani pia, kuwe na mazingira ya maisha au ya makazi ya Mungu kama ilivyo mbinguni.
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazuriKumbukumbu 8:6-18

Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia inatibuka.
Kutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na maisha ya shida

Comments

Popular posts from this blog

LINDA SAANA MOYO WAKO KULIKO VYOTE ULINDAVYO: JINSI YA KULINDA MOYO WAKO-I

VINYWA VYA MOYO: JINSI YA KULINDA MOYO WAKO-2

Ufanye Nini Unapoumizwa Moyo Na Watu Wako Wa Karibu/ Jinsi Ya Kupokea Uponyaji kwa Moyo Ulioumizwa