NGUVU ILIYO NDANI YA MWAMINIFU

MATENDO 2:1-4

"Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.

"Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi,

 ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi.

"Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.

"Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka."


💦Nguvu inapoingia ndani ya mwamini inaweka badiliko ndani yake

Badiliko la milele lakini hilo badiliko linatunzwa na UTAKATIFU mana Roho Mtakatifu anaketi mahali pa Takatifu 


💦Nguvu za Roho Mtakatifu zinatupa kumshinda shetani kwa namna yoyote ile 

Shetani sio kwamba anatuogopa sisi ila anaogopa kile kilicho ndani yetu.


💦Pia huwezi kuona nguvu za Mungu kama unafanya mazoea kwenye kazi ya Mungu

  Ondoka kwenye mazoea ili uone nguvu  na Baraka za Mungu .


Comments

Popular posts from this blog

LINDA SAANA MOYO WAKO KULIKO VYOTE ULINDAVYO: JINSI YA KULINDA MOYO WAKO-I

VINYWA VYA MOYO: JINSI YA KULINDA MOYO WAKO-2

Ufanye Nini Unapoumizwa Moyo Na Watu Wako Wa Karibu/ Jinsi Ya Kupokea Uponyaji kwa Moyo Ulioumizwa